Msanii wa kwanza wa kike wa hip hop kuwahi kufanikiwa nchini Uganda Keko, leo anatarajiwa kutumbuiza mbele ya rais Yoweri Museven na mke wake. Rais huyo atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa MaryHill High School Mbarara.
Mke wa rais Museveni, Janet Museveni alisoma katika shule hiyo ambapo Keko naye alisoma.
Asubuhi ya leo (June 23) ametweet, “MARYHILL High School Golden Jubilee Celebration Today #CatchMeInYourCity MBARARA HERE I COME #KekonianArmy Goodmorning.”
Asubuhi ya leo (June 23) ametweet, “MARYHILL High School Golden Jubilee Celebration Today #CatchMeInYourCity MBARARA HERE I COME #KekonianArmy Goodmorning.”
Msanii huyo kwa sasa wimbo ana wimbo
aliomshirikisha Madtraxx wa Kenya uitwao “Make You Dance” unaofanya
vizuri barani Afrika na Ulaya. Rapper huyo kwa sasa ni miongoni mwa
wasanii wa kike wanaofanya hip hop waliofanikiwa zaidi barani Afrika
No comments:
Post a Comment