Ijumaa iliyopita palikuwa na patashika kubwa katika kundi la facebook la Campus Divas for Rich men na East Africa’s Baddest and Rudest B*tches, ambapo wasanii maarufu kama STELLA MWANGI "STL" na MARYA walikuwa wakilalamuika sana juu ya kutumiwa vibaya kwa picha zao......
Haya
ni maadili ambayo si ya kiafrika......Tunawapongeza wenzetu wa Kenya
na Uganda kwa kuwa mstari wa mbele kuwaanika hawa watu
wanaoyuaibisha........
No comments:
Post a Comment