Siku
chache kabla ya Qayllah (mtoto wa shetta) kutoka arobaini
baba
yake amzawadia zawadi ya gari aina ya
Opa
mwaka 2003 rangi ya Silver....."Nisingependa mwanangu akodishiwe Tax au
kudandia lift kwenye gari za watu wakati wa kupelekwa clinic na sehem
mbalimbali....hivyo ndio maana nikaamua kujidhiki na kumnunulia binti yangu
gari hii na pia kuudhihirishia uma ni kiasi gani nampenda na kumthamini
mwanangu kipenzi" Alinena Rais huyo wa Darstamina
No comments:
Post a Comment