Kumbuka jinsi alivyokuthamini na
kukubali kukuvulia nguo zake kama mpenzi wake....Badala ya kumshukuru,
unaamua kumpiga picha za nusu utupu na kuzisambaza katika
mitandao.Hakika huu ni unyama!!!
Miss Tabata
2011 amawatia aibu watanzania kwa kupiga picha chafu na kuzisambaza
mtandaoni akiwa na mwanaume mtu mzima ambaye ni sawa na baba yake
mzazi....Mwanaume huyo anayejulikana kwa jina la Kali Shaban ndiye aliyezisambaza hizo picha za aibu
FAIZA ALLY AKIJIANDAA KUVUNJA AMRI YA SITA...PICHA ZIMESAMBAZWA NA MTU WAKE, KALI.
Picha hizo chafu zinamuonesha Miss
tabata 2011 Faza Ally akiwa mtupu huku sehmu ndogo ya mwili wake
ikifichwa kwa chupi yake isiyo na thamani
Baadhi ya picha hizo zinawaonesha wawili hao wakifanya mapenzi huku wakiwa kama walivyo
Tukio hilo la aibu wamelifanya wakiwa nchini Afika kusini kwa kile walichokiita kuwa walienda kula good time.
Tazama wasivyojiheshimu....JE, MNGEFANYA MAPENZI BILA KUTUONESHA NYETI ZENU NI NANI ANGEWASEMA??
No comments:
Post a Comment