Mwanadada huyu kutoka nchini Ukraine anayefahamika kama "Elena
Romanenkova ambaye pia ni mpiga picha, amekuwa akijichukua picha kibao
ili afanane zaidi na mfalme wa pop Michael Jackson ambaye alikwisha
fariki.
Elena amekuwa akijifunza mitindo mbali mbali ya kucheza ya Michael Jackson..... hebu mtizame hapo chini.
Elena amekuwa akijifunza mitindo mbali mbali ya kucheza ya Michael Jackson..... hebu mtizame hapo chini.