Blogger Widgets

December 30, 2012

Ya wakubwa watoto kesho shule:Hizi ni Njia mbadala ya Kumfanya Mpenzi wako wa kike awahi kufika Kileleni,PART 1



Kwa Mume suala la kufika kileleni halina utundu wala ufundi saana kama atakuwa mzima na "Jogoo anapanda Mtungi" Tatizo linakuja kwa Wake zetu, vipi na wao watafika kileleni na kufurahia raha ya mapenzi na unyumba! Hili linawezekana kwa kuzingatitia machache ntayoyasema.
                     Kwanza wote wawili, mume na mke muwe tayari katika kuhakikisha mnafikishana kileleni. Mume nakuomba ndo uwe mtendaji mkuu, usifike tu na kuanza kumpanda mkeo kama kuku, hakikisha unamchezea kwa kumgusa, kumtomasa au kumnyonya katika zile sehemu zinazomtia hamu au nyege zaidi. Utafiti unaonesha kwamba endapo mume na mke watakuwa wanabusia (Denda la Mahaba) kwa angalau dakika kumi kabla ya kuanza mapenzi na huku wakiendelea kuchezeana sehemu nyingine katika miili yao kunakuwa na uwezekano mkubwa wa mke kutangulia kufika kileleni kabla ya mwanaume.
Pili mume usiwe na haraka ya kuanza kumuingilia mkeo, hakikisha ushamchezea vya kutosha kutoka shingoni mpaka kwenye nyayo za miguu, kidole gumba cha mguu hadi nywele za kisogoni, na usiwe na papara wala kufanya haya kwa kutumia nguvu sana.
                          Sasa hamia kifuani, wala usiyavute au kuyaminya kwa nguvu matiti, chezea chuchu kwa upole kama unazifinya hivi, lisugue ziwa upande wa chini kama unalipandisha juu, zinyonye chuchu kama unazing'ata na kuzipuliza kwa mbali, fanya kama unalimeza lote, halafu liteme bila kulibana na kisha mate mate yako yatumie kuzisugua chuchu! fanya huku vidole vyako vikianza kuelekea sikioni.

                     

 Katika masikio wala usiutumbukize ulimi wote ukamuumiza au ukatoka na mengine, yalambe masikio kwa mbali, fanya kama una mno'goneza jambo huku ukimpulizia hewa ya moto kwa mbali (hmmm!) kisha mwambie unampenda, toka moyoni! ingiza kidole cha shahada au cha mwisho kwa upole na uwe unakipitisha sehemu ya juu na kwa ndani bila kukizamisha saana!
Sasa shusha kidole anza kuelekea ikulu, huku ndo picha linataka kuanza.................

KESHO USIKOSE KUFATILIA PART 2