Picha hizo zimenaswa kutoka katika mtandao mmoja wa nje unaohusika na mambo kama hayo yaani picha za ngono.
Baada ya Rayuu kutafutwa na kuulizwa kuhusiana na picha hizo alionekana kushtuka sana na kudai kuna watu wanataka kumchafua kwan hajawahi kushiriki katika picha zozote za ngono.
''Jamani mbona naonewa hivo mimi,Picha hizo sijui zimetoka wapi,Kwanza kama nmefanya mimi mapenzi wao kinawahusu nini acgha wazitazame sina muda nao napenda kufanya mambo yangu''alisema Rayuu