Blogger Widgets

February 18, 2013

Moja ya Picha za Ngono za Msanii Rayuu(a.k.a Mama Tattoo) Zaanza Kusambaaa

Msanii Rayuu zimenaswa picha zake mtandaoni akiwa akifanya mapenzi na mwanaume ambaye bado hajajulikana.Moja wapo ya picha hizo ni hii na zingine kutokana na sababu za kimaadili hazifai kuziona hadharani.
Picha hizo zimenaswa kutoka katika mtandao mmoja wa nje unaohusika na mambo kama hayo yaani picha za ngono.

Baada ya Rayuu kutafutwa na kuulizwa kuhusiana na picha hizo alionekana kushtuka sana na kudai kuna watu wanataka kumchafua kwan hajawahi kushiriki katika picha zozote za ngono.


''Jamani mbona naonewa hivo mimi,Picha hizo sijui zimetoka wapi,Kwanza kama nmefanya mimi mapenzi wao kinawahusu nini acgha wazitazame sina muda nao napenda kufanya mambo yangu''alisema Rayuu