Blogger Widgets

May 24, 2013

Check Comment za Watu Wakimdiss Diamond Baada ya Jana Kuingia Choo Cha Kike Baada ya Kuandika Kingereza Kisichojulikana Kwenye Post yake ya Jana

hii ni comedy ama?

kama kawaida wadau
 wake wakateremka



  • a kithungu,ata gal friend wako yuko vizuri kwa ngeli,mtumie vizuri ata awe anaedit   

  • @ ] fathiyah_cfc "After I done did the " what type of English is that loool  btw stop

  •  

    Hivi Diamond unapenda kutuchekesha ama?? SMH



    unajua me simuelewi Diamond kabisa, yaani daah  naomba 


    mniache maana mbavu zinaniumaa sijuwi siku hizi amekuwa


     comedian .



    kumbuka sera yetu ni ileile kuambiana ukweli, vichekesho



     vya hapa na pale no matusi ktk comment. 





    i do the seeking n u do the judging 




    1. Anonymous
      Kujitia uzungu asokuwa nao kwani angeandika kiswahili angekuwa sio domo?shule hamna na tunajua kama vipi rudi shule baba hahaha
      Reply
    2. nini na nini
      Hapo ndipo atapomkumbuka baby Wema
      Reply
    3. Yeyoo
      ahaaaaa! Hii noma kweli jamani kama hujui language za watu achana nazo! Kwani ungeandika kiswahili ungeishiwa dam? Au ungemwambia dem wako akuandike kingeharibika kitu? Nenda basi tuition jamani utakuja kuaibika zaidi ya hapo! Hongera kwa hilo dili.
      Reply
    4. Anonymous
      i see no problem in his english he just used slang next time akisema "im finna come" si mtaanguka...its american slang by the way. sio lazima muelewe wote nyie like picture tu.
      Reply
    5. Anonymous
      wasanii wengi bongo elimu zero, wala alikua hafanyi comed yn hapo ndo kamaliza elimu yake yote, we mwangalie hata interviw zake akisikia english kama anadata hivi anaanza kulamba domo lake.
      kiufupi apate muda wa ziada aende shule japo 2hours per day inatosha, asome hata english course tu ili aweze kuongea popote
      Reply
    6. Anonymous
      WAMUWACHE KWANI KAZALIWA NA HIYO LUGHA AHAAAAAAAAA!
      Reply
    7. Anonymous
      na atakuja kuijua vizuri lugha mpaka mshangae kwa maana haoni aibu kuandika kile anachoona yupo correct , angekuwa Mjapan hapo mngesema ??
      Reply
    8. Anonymous
      Umeanza? Usinibanii comment yangu. Mama ugonvi utakugeukua mwaya. Sijui kaandika kiswaahili masikini aende akapige brash mjini. Wenzake sikuhizi wanaweza. Penny nae anafanya nini au Kujishebedua tu. Mwenzio wema alikua anaongea nae kingeli sasa zamu yako peny kumalizia. MASIKINI.
      Reply
    9. Anonymous
      rudi kwa wema akusaidie....sasa me nashangaa mbona cku ile ulimwandikia baby wako bdy wishez vzr au alikusaidia..pole mond ndo hasara ya kutokwenda xul
      From:Sinta

    No comments:

    Post a Comment