hii ni comedy ama? |
kama kawaida wadau wake wakateremka |
Hivi Diamond unapenda kutuchekesha ama?? SMH
unajua me simuelewi Diamond kabisa, yaani daah naomba
mniache maana mbavu zinaniumaa sijuwi siku hizi amekuwa
comedian .
kumbuka sera yetu ni ileile kuambiana ukweli, vichekesho
vya hapa na pale no matusi ktk comment.
i do the seeking n u do the judging
- AnonymousKujitia uzungu asokuwa nao kwani angeandika kiswahili angekuwa sio domo?shule hamna na tunajua kama vipi rudi shule baba hahahaReply
- Yeyooahaaaaa! Hii noma kweli jamani kama hujui language za watu achana nazo! Kwani ungeandika kiswahili ungeishiwa dam? Au ungemwambia dem wako akuandike kingeharibika kitu? Nenda basi tuition jamani utakuja kuaibika zaidi ya hapo! Hongera kwa hilo dili.Reply
- i see no problem in his english he just used slang next time akisema "im finna come" si mtaanguka...its american slang by the way. sio lazima muelewe wote nyie like picture tu.Reply
- Anonymouswasanii wengi bongo elimu zero, wala alikua hafanyi comed yn hapo ndo kamaliza elimu yake yote, we mwangalie hata interviw zake akisikia english kama anadata hivi anaanza kulamba domo lake.Reply
kiufupi apate muda wa ziada aende shule japo 2hours per day inatosha, asome hata english course tu ili aweze kuongea popote - Anonymousna atakuja kuijua vizuri lugha mpaka mshangae kwa maana haoni aibu kuandika kile anachoona yupo correct , angekuwa Mjapan hapo mngesema ??Reply
- AnonymousUmeanza? Usinibanii comment yangu. Mama ugonvi utakugeukua mwaya. Sijui kaandika kiswaahili masikini aende akapige brash mjini. Wenzake sikuhizi wanaweza. Penny nae anafanya nini au Kujishebedua tu. Mwenzio wema alikua anaongea nae kingeli sasa zamu yako peny kumalizia. MASIKINI.Reply
- Anonymousrudi kwa wema akusaidie....sasa me nashangaa mbona cku ile ulimwandikia baby wako bdy wishez vzr au alikusaidia..pole mond ndo hasara ya kutokwenda xulFrom:Sinta