Mbunge Msigwa akishuka katika
gari ya polisi baada ya kufikishwa
mahakamani mchana huu
gari ya polisi baada ya kufikishwa
mahakamani mchana huu
Mbunge Msigwa akishuka
katika gari hilo la polisi tayari kwa
kuelekea chumba cha mahakama
katika gari hilo la polisi tayari kwa
kuelekea chumba cha mahakama
Mbunge Msigwa akiwa na gazeti
mkononi baada ya kufikishwa
mahakamani leo
mkononi baada ya kufikishwa
mahakamani leo
Wakili wa Msigwa kulia
akiteta jambo nje ya mahakama
akiteta jambo nje ya mahakama
Kada wa
Chadema Frank
Mwaisumbe akiingia na
viongozi wengine wa
chadema mahakamani hapo
huku wafuasi wao wakizuiwa
nje ya mahakama
Mwaisumbe akiingia na
viongozi wengine wa
chadema mahakamani hapo
huku wafuasi wao wakizuiwa
nje ya mahakama
Wafuasi wa
Chadema wakiwa
wamezuiliwa nje ya viwanja
vya mahakama kuu kanda
ya Iringa wakati mbunge
alipofikishwa katika mahakamani
mchana huu
wamezuiliwa nje ya viwanja
vya mahakama kuu kanda
ya Iringa wakati mbunge
alipofikishwa katika mahakamani
mchana huu
From:FRANCIS GODWIN
No comments:
Post a Comment