Tarehe 29 mwezi wa 5 itakuwa ni tarehe isiyosahaulika
kwa mtangazaji nguri wa kipindi cha PLANET BONGO ya EATV
bwana Abdallah Ambua au almaaruf kama Dullah Planet baada ya mke
wake kipenzi Amina Kagambo kufanikiwa kujifungua salama mtoto wao wa kwanza
Mtoto huyo ni wa kike wamemtunuku jina la Tamirah.
Fol Classic inawapongeza na inawatakia
wanandoa hawa Upendo na mafanikio mema katika kumlea na
kumkuza binti yao kipenzi....
From:This Is Diamond
From:This Is Diamond
No comments:
Post a Comment