Jack
PentezelKwa mujibu wa
chanzo chetu (tunaficha jina lake),
mastaa hao wa kike, mmoja
ndiye ataibuka mshiriki kwa
mwaka huu ambapo atakaa
ndani ya mjengo kuanzia
Mei 26, 2013 ambapo
shindano litaanza rasmi.
chanzo chetu (tunaficha jina lake),
mastaa hao wa kike, mmoja
ndiye ataibuka mshiriki kwa
mwaka huu ambapo atakaa
ndani ya mjengo kuanzia
Mei 26, 2013 ambapo
shindano litaanza rasmi.
Jack
Patrick“Mimi nawamegea
tu kwamba kati ya Wema,
Baby Madaha, Jack wa Chuz
na Jack Patrick mmoja wao
anakwenda Big Brother mwaka huu.
tu kwamba kati ya Wema,
Baby Madaha, Jack wa Chuz
na Jack Patrick mmoja wao
anakwenda Big Brother mwaka huu.
Wema
sepetu“Halafu
ninachojua mimi, mshiriki
ameshatumiwa taarifa kutoka
Multi Choice, ila tatizo
wale jamaa wanataka mtu
msiri sana, mshiriki hatakiwi
kumwambia mtu mpaka siku
atakapoondoka,” kilisema chanzo chetu.
ninachojua mimi, mshiriki
ameshatumiwa taarifa kutoka
Multi Choice, ila tatizo
wale jamaa wanataka mtu
msiri sana, mshiriki hatakiwi
kumwambia mtu mpaka siku
atakapoondoka,” kilisema chanzo chetu.
Risasi Jumamosi lilipiga
kiguu hadi Ofisi za Multi Choice
jijini Dar na kuulizia
Mbongo anayekwenda,
likakumbana na majibu haya:
kiguu hadi Ofisi za Multi Choice
jijini Dar na kuulizia
Mbongo anayekwenda,
likakumbana na majibu haya:
Baby
Madaha“Sisi pia hatujui.
Unajua ilivyo ni kwamba huwa
tunatuma majina, sifa na
anuani za watu kama watano
kule Sauzi, halafu wao
wanaangalia vigezo vyao,
anayeshinda anataarifiwa
kutoka kulekule bila sisi
kujua,” alisema mtumishi mmoja
ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe.
Unajua ilivyo ni kwamba huwa
tunatuma majina, sifa na
anuani za watu kama watano
kule Sauzi, halafu wao
wanaangalia vigezo vyao,
anayeshinda anataarifiwa
kutoka kulekule bila sisi
kujua,” alisema mtumishi mmoja
ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe.
Risasi
Jumamosi juzi Alhamisi
liliongea na Jack wa Chuz
ambaye alisema aliwahi
kuombwa kushiriki shindano
hilo kwa sababu ya ushombe
wake lakini hakuweka wazi
kama alijaza fomu za maombi au la!
liliongea na Jack wa Chuz
ambaye alisema aliwahi
kuombwa kushiriki shindano
hilo kwa sababu ya ushombe
wake lakini hakuweka wazi
kama alijaza fomu za maombi au la!
Aidha,
Baby Madaha alipoulizwa
alikiri kujaza fomu za
kukusudia kushiriki siku za nyuma
akiwa sambamba na Wema
lakini akasema hajui nani
kashinda ingawa lazima
mshiriki ameshapatikana kati yao.
alikiri kujaza fomu za
kukusudia kushiriki siku za nyuma
akiwa sambamba na Wema
lakini akasema hajui nani
kashinda ingawa lazima
mshiriki ameshapatikana kati yao.
“Nasikia
mshiriki anatakiwa
kujijua wiki tatu au mbili kabla.
Kwa hiyo atakuwa tayari anajijua,
inakuwa siri ya mtu, hakuna
anayeweza kujitaja kwa watu,”
alisema Baby Madaha.
kujijua wiki tatu au mbili kabla.
Kwa hiyo atakuwa tayari anajijua,
inakuwa siri ya mtu, hakuna
anayeweza kujitaja kwa watu,”
alisema Baby Madaha.
Simu ya
Jack Patrick haikuwa
hewani siku hiyo huku watu wake wa karibu wakisema yupo nje ya Bongo
kibiashara zaidi. Simu ya
Wema muda mwingi iliita
bila kupokelewa hadi mpigaji akachoka.
hewani siku hiyo huku watu wake wa karibu wakisema yupo nje ya Bongo
kibiashara zaidi. Simu ya
Wema muda mwingi iliita
bila kupokelewa hadi mpigaji akachoka.
Kwa
upande wa wanaume,
wanaotajwa kushiriki shindano
hilo mwaka huu ni staa wa
sinema za Bongo, Hemed
Suleiman ‘PHD’, nyota wa
Bongo Fleva, Khaleed Mohamed
‘TID’ na aliyewahi kuwa
Mtangazaji wa Clouds TV,
Rommy Jones ambaye ni
ndugu na Mbongo Fleva,
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
wanaotajwa kushiriki shindano
hilo mwaka huu ni staa wa
sinema za Bongo, Hemed
Suleiman ‘PHD’, nyota wa
Bongo Fleva, Khaleed Mohamed
‘TID’ na aliyewahi kuwa
Mtangazaji wa Clouds TV,
Rommy Jones ambaye ni
ndugu na Mbongo Fleva,
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
From:GPL
No comments:
Post a Comment