Leo
ntwara tangu asubuhi kila huduma imefungwa watu wapo kimakundi makundi
wanasikiliza bunge hasa bajeti ya wizara ya nishati na madini,ni magari
ya ffu tu ndio yapo barabarani nayo hupata wakati mgumu kupita kwasababu
ya mawe na magogo yaliyowekwa na vijana,baadhi ya watu kadhaa
wamechukuliwa na askari eti kwakuwa walipita jirani na gari yao,askari
wengi waliokuja si wa hapa ntwara wengi wametoka Masasi na Lindi.
From:Audiface Jackson
No comments:
Post a Comment