Miss
World Tanzania 2012 Lisa Jensen ambae ana sifa nyingi za uzuri, ikiwa ni
pamoja na sauti tamu inayoweza kukuamsha usingizi (kama ukipata bahati
ya kumsikia akiongea) hivi sasa ni mjauzito wa miezi 6 na zaidi.
Akizungumza
kwenye segment maarufu ya U Heard katika XXL ya Clouds Fm, Lisa
amemtaja baba kijacho the lucky guy kwa jina la Abeid, lakini the most
questionable part ameonekana kutokuwa na uhakika wa kuwa na familia na
mpenzi wake huyo ambaye anahusika na ujauzito wake kutokana na sababu
kadhaa ikiwemo uwoga wa kusalitiwa. “I kinda have a phobia hahaha about
marriage, it is just a scary thing I mean thinking about marriage,
seeing how people cheat in the marriage you know its its, kinda its
kinda, its kinda like sad”. Alisema Lisa Jensen Akaendelea kusema “
Imagine you are already commited like in the marriage and then this
person is cheating on you continuously and then you are like till death
do us apart? No way, so let’s see how it goes I am not sure when we
gonna get married, I am not sure if we ever gonna get married but time
is everything time will tell if we will ever gonna get married or not”
alifunguka Lisa. Moja ya swali la njia panda lililotolewa jibu la njia
panda aliloulizwa ni hili…. Gossip Cop: Kwa haraka haraka umewahi kutoa
mimba kama ngapi hivi? Lisa Jensen: mi naenda kukujibu hili swali kwa
point moja au ngapi, Tanzania hairuhusu kufanya abortion,kwahiyo hata
kama mtu kafanya abortion ukimuuliza kwamba have you ever done abortion
atakwambia noo no I have never done that au atakwambia no I had a
miscarriage so I think nobody can ever be true to that question, who
wants to say that ‘yes I have done abortion’ afu kesho yake unaskia
unagongewa ndi ndi ndi you are a murderer, so maybe you can say maybe I
never got pregnant before or maybe I got pregnant before so that’s kinda
secret, seal
No comments:
Post a Comment