Blogger Widgets

May 18, 2013

Huyu Ndio wakubakwa Mpaka Kuugua na Mbunge LEMA Huyu???Check Alichokiandika Mida Hii Kwenye Blog Yake

  Nanukuu:

BY: FLORA LYIMO ~ MWANAMKE MAPISHI NA KUJIAMINI'SIYO MAUMBEA UMBEA NA KUKATIKIWA MALAPA NJIANI KISA UMBEEE 'MBUTA NANGA!!

 Mwanamke mapishi 'siku ya my birthday 'nilipikaje sasa yani I love kufanya kazi na mikono yangu 'and i can say Im so PROUD OF MY SELF' Mwanamke najiamini and thanks to my one and only Super jitegemee Mama Augustina Lyimo" Be Bless Always Mai oko mae"

 Maandalizi yakiendelea " huku nikisikiliza wimbo wa Mama ntilie 'hahaha naupendaje sasa wimbo huu"

 Nikakutana na haya maharage mabichi 'yani I was so happy kuyaona na kujisikia kama nipo kule Moshi Mndenyi' nikamuuliza muuzaji kayatoa wapi akaniambia from Tanzania''wooow" thats Nchi yangu nayoipenda kupita maelezo"
 Then maembe jamaniiiiii..but hayajatoka Tanzania " wala sikumuuliza nilishikwa na kigugumizi kwani niliyabebaje sasa" napenda maembee''nakumbuka enzi za shule kuna kina mama walikuwa wanakuja kutuuzia shuleni basi wakati wa mapuumziko ndo kukimbizana na hawa kina mama wauza maembe'kununua maembe ili kuepuka ule Uji wa chule usokuwa na hata chumvi" Jamani nimetoka mbali na na Amini Mungu kwa kujitahidi kufanya kazi na Mikono yangu nitafika mbali" 
I love kupika na Flora Oil 'yani pamoja na kuwa na Jina langu 'siyo hicho tu ni mafuta yasonukia nukia chochote kwani kuna mimafuta mingine unapika nayo alafu ukiyanukia kwenye chakula unasikia kutaapika'so kama haya mafuta yanapatikana unapoishi tumia kwa Harufu safi kwenye mapishi yenu"

No comments:

Post a Comment