Blogger Widgets

May 22, 2013

Imegundulika Etiii Hizi Picha Alizoweka Leo Sinta Kwenye Mtandao Wake Akiwa Double Tree,Hakualikwa Ulikuwa ni Mkutano wa Watu Kutoka Nchi za Nje Tuu

unstoppable
nami shughuli naiweza

jeshi la mtu mmoja
i know i will never
 disappoint  myself

nothing but confidence


kama unaumia kwa kweli go
 n hang ya selfoooo
kutoka Double Tree by Hilton
nasema byeee
CEO



Hellow lovies,,,,najua mmenimiss sana watu wangu wa kitaa,okay have a good day wapenzi wangu me penda u mingimingi.

  1. Hiyo picha uliyopiga na huyo dada umeweka na instagram ni mbayaaaaaaaaaa haya naona umeona uonyeshe ukiraru raru wako muda si mrefu utaonyesha na nyeti zako
    Reply
  2. Vaathu tuti matho malole
    Reply
  3. Naomba unielekeze salon ya hizo nywele na nywele zinaitwaje hizo??/
    Umetokelezea mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
    Reply
  4. hahahah jana nimekuona upo mawindoni unawnda watu walikuwa kwenye mkutano Double tree vile tu ulisikia participants most of them are from abroad...................... una shida ulivyokuwa unajikalisha sasa shoga yako uliyekuwa nae anakusema hata humsikilizi ulikuwa na kazi ya kutengeneza pozi tu


    nyabo
    Reply
  5. umeamua utuachie vinyonyo nje
    Hivi diet bado inaendelea?

No comments:

Post a Comment