unstoppable |
nami shughuli naiweza |
jeshi la mtu mmoja |
i know i will never disappoint myself |
nothing but confidence |
|
kama unaumia kwa kweli go n hang ya selfoooo |
kutoka Double Tree by Hilton nasema byeee CEO Hellow lovies,,,,najua mmenimiss sana watu wangu wa kitaa,okay have a good day wapenzi wangu me penda u mingimingi. |
- AnonymousMay 22, 2013 at 7:56 AMHiyo picha uliyopiga na huyo dada umeweka na instagram ni mbayaaaaaaaaaa haya naona umeona uonyeshe ukiraru raru wako muda si mrefu utaonyesha na nyeti zakoReply
- AnonymousMay 22, 2013 at 8:06 AMNaomba unielekeze salon ya hizo nywele na nywele zinaitwaje hizo??/Reply
Umetokelezea mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa - AnonymousMay 22, 2013 at 8:07 AMhahahah jana nimekuona upo mawindoni unawnda watu walikuwa kwenye mkutano Double tree vile tu ulisikia participants most of them are from abroad...................... una shida ulivyokuwa unajikalisha sasa shoga yako uliyekuwa nae anakusema hata humsikilizi ulikuwa na kazi ya kutengeneza pozi tuReply
nyabo - AnonymousMay 22, 2013 at 8:39 AMumeamua utuachie vinyonyo nje
Hivi diet bado inaendelea?