Isikilize Ngoma ya Chid Benz Aliyokesha Studio na Ibra Da Husler Kumuimbia Mangwea.R.I.P
Prod Mbezi aliyetengeneza wimbo huu anasema "hii ni ngoma ambayo chidy benzi alilia kwanza studio wakati
anarekodi,pili ameimba kwa hisia sana na tatu mimi na yeye na ibra da
hulser ndo tuliokesha studio kuonyesha ishara ya kumuenzi kaka yetu"
No comments:
Post a Comment