NANUKUU HAYA MANENO KUTOKA KWA HUYU SISTER ALIAMUA KUSEMA YA MOYONI
"Wadada wengi wa mujini, Mimi binafsi nikiwemo, single na wake za watu
wakiwemo tunaishi maisha SO FAKE AND DANGEROUS. Standards are so high,
sanctions so strict, desire ya kukubalika na kumaintain status inatuua
na kufanya tusiolewe ama hata tukiolewa tusidumu. Ni hatari sanaaaa!
When i was like 12 form 1 my big sis alikuwa chuo na alikuwa ana mibuzi
kaipanga foleni! Wababa watu wazima, vikaka, waume za watu, purukushani.
I was so ashamed of her! Nilimuonaje bad influence! Enzi hizo nataka
kuwa Sister! Chezeya! Now looking at my Zigo La Zambi, i feel ashamed of
my self that i once was actually ashamed of my sister and like water i
followed the same course. SAD! SAD! SAD!
The roller coaster of life is too fast for us to catch up! Mtu ndo
mzuri, ushasoma bachelor na masters, kazi zenyewe majanga, mshahara
majanga plus plus, kwenu ndo majanga square na bado inatakiwa umaintain
status mjini hapa, kuchangia mashosti party, kuonekana viwanja, kumake
appearance kwenye social events, kuvaa pamba grade 1, upange hata room
1, sio kula kulala kwa wazee. Yaani ili u survive You Better Be Paid. N
the sister isn't paid. Kukubali kudeclare Bankruptcy nako kunataka roho
ngumu sio mchezo. Matokeo yake ndo unatafuta financing kwa sie wenye
roho za korosho.
Hapo ndo mwanaume kakuapproach humpendi ila ndo financing anaiweza, basi
unamuweka Zombi kumkubali hukubali, kumtosa humtosi, kila siku kukopa
wakati nia ya kulipa huna! Too much taking advantage of people. Hata
kama hulali nae sawa hujazini ila Mwizi na Mlaghai. Wanaume lukuki
unawamaintain kama backup plan!
Mtu unakuta kijana mwenzio mmeajiriwa wote juzi anakwambia njoo tuanze
maisha, wapiiiiii! Ukipiga hesabu kupanga upande wa nyumba kimara,
kujibanaaa, mtoto, harusi, unahisi kuzeeka ghafla! Mrs unapanda dala!
Hataaa! Roho haijipi kabisaa. Matokeo yake tunaparamia senior bachelors
waliojijenga siku nyingi kumaintain status. Hawa senior bachelors ni
migumegume iliyomshinda mtume ukiolewa unatesekaje sasa. Jst the nxt 10
yrs wale reject zetu wanakuwa washatoka kimaisha afu sie bado tunang'aa
sharubu! Majuto ni mjukuu siku zote. Mtu haolewi sio hajapata ila
Hajabahatisha Bingo!!!!!!!! Na wengine hata akiolewa mafiga matatu kama
kawa kufanikisha mambo nyumbani!
Tubadilike jamani!!!!!!!! For the better! Mungu Hapendi. (Mwenyewe
napenda kweli kubadilika ila kudeclare BANKRUPTCY sio masiharaa! Kila
nikijaribu kurudi kundini wapiiii!) Hahahaaaaaaaa!(Its not a laughing
matter and im ashamed of my self)
Ukijisikia Kutukana We Tukana Tu Upunguze Nyongo Mwilini!!!!!!!!!!! Japo Akili ni Nywele Ila Sio Za Kwapani!"
From:Fununu Habari
No comments:
Post a Comment