JESHI la
Polisi Mkoa wa Kinondoni, linalishikilia
baadhi ya wanenguaji wa kundi maarufu kwa
kucheza maungo yakiwa wazi ‘Kanga Moko na
Laki si Pesa’, gazeti la Tanzania Daima la leo l
ina hatimiliki ya hii habari.
baadhi ya wanenguaji wa kundi maarufu kwa
kucheza maungo yakiwa wazi ‘Kanga Moko na
Laki si Pesa’, gazeti la Tanzania Daima la leo l
ina hatimiliki ya hii habari.
Watuhumiwa
hao wamekamatwa sambamba
na watu wengi wanaofanya biashara ya kuuza
miili yao, kufanya mapenzi hadharani
na vitendo vya kishoga.
na watu wengi wanaofanya biashara ya kuuza
miili yao, kufanya mapenzi hadharani
na vitendo vya kishoga.
Akizungumza
na waandishi wa habari jijini
Dar es salaam, Kamanda wa Polisi wa
Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela,
alisema kuwa kundi hilo sambamba na
watu hao walikamatwa katika maeneo ya
Hoteli ya Travertine, Ambiance Club,
Kinondoni Makaburini, .“Tumewakamata hao
wanaofanya mchezo maarufu wa
Kangamoko na Laki si Pesa na tayari
wanafikishwa mahakamani muda wowote
na msako bado unaendelea ili kudhibiti vitendo
hivyo na michezo hiyo ya kangamoko au
baikoko ambayo watu wengi wameilalamikia
kutokana na mtindo wanaoutumia,” alisema.
Dar es salaam, Kamanda wa Polisi wa
Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela,
alisema kuwa kundi hilo sambamba na
watu hao walikamatwa katika maeneo ya
Hoteli ya Travertine, Ambiance Club,
Kinondoni Makaburini, .“Tumewakamata hao
wanaofanya mchezo maarufu wa
Kangamoko na Laki si Pesa na tayari
wanafikishwa mahakamani muda wowote
na msako bado unaendelea ili kudhibiti vitendo
hivyo na michezo hiyo ya kangamoko au
baikoko ambayo watu wengi wameilalamikia
kutokana na mtindo wanaoutumia,” alisema.
Kundi la
kangamoko limekuwa likilalamikiwa
mara kwa mara kutokana na kucheza wakionesha
maungo ya miili yao wazi na kuvaa nguo nyepesi
wanazozimwagia maji.
mara kwa mara kutokana na kucheza wakionesha
maungo ya miili yao wazi na kuvaa nguo nyepesi
wanazozimwagia maji.
Kukamatwa
wasanii wa kundi hilo
kumekuja siku chache tu tangu walalamikiwe
katika Bunge la Jamhuri ya Muungano kwamba
wamekuwa wakipotosha jamnii.
kumekuja siku chache tu tangu walalamikiwe
katika Bunge la Jamhuri ya Muungano kwamba
wamekuwa wakipotosha jamnii.
From:AudifaceJackson
No comments:
Post a Comment