MWILI
wa Dk Anold Limo ukiwa katika chumba
cha kuifadhia maiti hospitali ya
rufaa ya mkoa wa
Morogoro muda mfupi kabla ya mwili huo kuondolea
katika
nyumba ya kulala wageni ya Camel Nkomola
Kihonda baada ya uchun
guzi katika hospitali ya mkoa huo mei 22 mwaka huu.
DAKTARI
wa meno Anorld Rimo
(umri wa miaka kati ya 30 hadi 40) wa hospitali ya
Sabasaba Manispaa ya Morogoro, amekutwa
amejinyonga katika nyumba ya
kulala wageni ya
alisema kuwa tukio hilo limetokea Mei 22 saa
10 alfajiri katika nyumba hiyo ya kulala wageni.
Alisema
Daktari huyo alikuwa amepanga katika
nyumba hiyo katika chumba namba 2,
na kukutwa
amejinyongea dirishani kwa kutumia foronya za
mto pamoja na
taulo. Ameeleza kuwa usiku wa
kuamikia siku hiyo marehemu alikwenda
katika
sehemu ya mapokezi ya nyumba hiyo na kufanya
fujo na kuonesha
sehemu zake za siri kuwa hazifanyi
anaishi wapi.
Chanzo cha kujinyonga hakijajulikana na polisi
wanaendela na uchunguzi.
No comments:
Post a Comment