Ajali hii ilitokea jana maeneo ya Chang'ombe - maarufu kama machinjioni
Kazi ilianza
Watu waliendelea bila wasiwasi wala woga
Watu bila hiyana waliendelea kuchota mafuta bila kujali majeruhi au hasara ya wamiliki wa magari husika, Je tutafika?
From:ChingaOne
No comments:
Post a Comment