T.I.D Aambulia Matusi Baada ya Kutangaza Kutofika Kwenye Show ya Jay Dee Komando
TID
a.k.a MNYAMA leo amejikuta akiambulia matusi ya nguoni baada ya
kuitosa show ya Lady Jaydee na kuandika chenga zake katika
Account yake ya Facebook.... Hizi ni comment za hao mashabiki wake walioamua kumharibia siku yake.....
No comments:
Post a Comment