HALI
tete na ya taharuki imezuka katika jiji la LAGOSI huko Nchini Nigeria
mara baada ya Mwinjilisti mmoja aliyejulikana kwa jina la Mr John
Mbakogwu.
Mr John Mbakogwu aliushangaza umati
mkubwa ambao walikuwa ndani ya basi hilo wakisafiri kulekea maeneo mbali
mbnali na kuacha taswira ambbayo haikuweza kueleweka kwa haraka
kutokana na Mr John Mbakogwu kuonekana akihubiri kwa hisia kali huku
akiwasisitiza wanajamii kuacha Dhambi kwa siku za mwisho zimefika,
Wakati akiendelea kutoa neno la Mungu
Ghafla Condom ambayo alikuwa ameihifadhi ndani ya kitabu kitakatifu cha
BIBLIA ndipo ilipoanguka chini huku abiria waliokuwa wakionekana
wakiguswa na mahubiri ya mhubiri huyo wakishuhudia kwa macho yao na
kubaki wakishanga kwa kutoamini lililotokea. Ndipo waumini hao
waliposhikwa na hasira na kuanza kumshambulia kwa kumchapa makonde ya
Nguvu na mwishowe raia wema ndipo walipoamua kumgombelezea kutoka kwenye
Umati huo wa waumini wenye hasira na hivyo kufanikiwa kusalimisha uhai
wake huo ambao ulionekana kuwa rehani
No comments:
Post a Comment