Check Maandalizi ya Kuagwa kwa Mwili wa Albert Mangwea Kwenye Viwanja Vya Jamuhuri Mjini Morogoro
Huu ni uwanja wa Jamhuri Morogoro ambapo wakazi wa mkoa wa Morogoro na
jirani wataweza kuaga mwili wa marehemu Mfalme wa FreeStyle Albert
Mangwair, Kisha kumpeleka kumpumzisha kwenye nyumba yake ya milele
No comments:
Post a Comment