Blogger Widgets

June 15, 2013

Jamani Tumuombee JOH MAKINI na Yeye Yupo Hospitali Kalazwa Anaumwa Sana




Moja ya rapper memba wa kikundi cha hip hop TZ, Joh Makini, yuko hospitali huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya sana.
 
Get wel Soon

No comments:

Post a Comment