Blogger Widgets

June 15, 2013

Maajabu Yaliyotokea Kwenye Show ya Lady Jay Dee Jana Usiku.

Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki. 

DSC_4275

Katika show hiyo, Lady Jaydee amesindikizwa na wasanii mbalimbali wakiwemo Juma Nature, Sugu, Profesa Jay, Wakazi, Grace Matata na wengine. Pia Jaydee ameitumia siku hiyo kuzindua albam yake mpya, Nothing But The Truth na kusherehekea siku yake ya kuzaliwa. Hizi ni picha za show hiyo.

DSC_4279

DSC_4285

DSC_4288

DSC_4291

DSC_4293

DSC_4299

DSC_4300

DSC_4301

DSC_4445

DSC_4447

DSC_4449

DSC_4466

DSC_4261

DSC_4273

From: Bongo5

No comments:

Post a Comment