Anaitwa Paula
mtoto wa mama mwenye talent na baba mwenye talent, so vipi kuhusu
mtoto?. Ofcoz hawezi kukosa kuwa na kipaji na yeye pia. Baba yake ni
famous producer P Funk na mama yake ni one of the best actress hapa bongo..swali la kizushi ni kwamba atafuata music kwa baba au movie kwa mama.?
Picha zaidi hapa
No comments:
Post a Comment