Blogger Widgets

June 2, 2013

Moja Wa Watanzania Ambao Wapo Mstari Wa Mbele South Africa Kwenye Kumtembele M2 The P,ni Magie Hanlon


Hali ya msanii M 2 The P 
inaendelea kuimarika na sasa 
yupo wodini ya wagonjwa wa 
 kawaida baada ya kutembelewa na
 Magie Hanlon aliyefika Hospilini hapo
 kumjulia hali. 
Magie Hanlon mtanzania anayeishi 
Afrika ya kusini akiwa Hospitali kumjulia 
 hali M 2 The P na kumkuta akiendelea 
vizuri na hali yake ikiendelea kuimarika.

Magie akiongea jambo na Msanii M 2 the P 

No comments:

Post a Comment