Huyu ndiye M 2 THE P
ambae kwa wengi walikua hawamfahamu vizuri na mchana huu ndio ameingia
Morogoro hapa ni nyumbani kwasasa bado watu wanaaga mwili wa Ngwair.
Karibu nyumbani
M 2 THE P
Hapa katika Picha nyingine
Picha Nyingine kwenye Pozi Lingine
Jinsi alivyokua
anakubalika inaonekana wazi kutokana na uwingi wa watu waliojitokeza
kushiriki shughuli za msiba kuanzia mapokezi yake kule airport Dar es
salaam mpaka huku nyumbani Morogoro ambako ndio leo atapumzishwa katika
nyumba yake ya milele. Mungu amlaze mahali pema peponi....
Nawaona Ommy Dimpozi akiwa na Diamond Platnumz
Vanessa Mdee mwenye njano na Dyna katikati tukiwa msibani
No comments:
Post a Comment