Big Brother
Comedy
Fashion
Hip Hop City
Hot Model in town
Magazeti
Makala Maalum
Mapenzi
Matukio
Michezo
Siasa
Simulizi
Swagg
Udaku
University Lens
Video
Vituko
June 6, 2013
Picha Watu Wakiwa Makaburini Muda Huu Morogoro Kuuzika Mwili wa Albert Mangwea
Umati wa watu wakiwa nje ya Uwanja wa Jamhuri wakati wa kutoa heshima za mwisho.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akimfariji mama mzazi wa marehemu, Albert Mangwea.
Waombolezaji walishindwaji kujizuia. akiwemo m2 the p
Mbunge wa Mbeya, mjini Joseph Mbilinyi akitoa heshima za mwisho.
Waombolezaji wakishusha jeneza lililokuwa na mwili wa msanii mahiri wa Hip Hop, marehemu Albert Mangwea, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika mjini Morogoro leo
Jeneza likishushwa kaburini.
Waombolezaji wakishusha jeneza lililokuwa na mwili wa msanii mahiri wa Hip Hop, marehemu Albert Mangwea, wakati wa mazishi yake yaliyofanyika mjini Morogoro leo
Wananchi Wengi waliojitokeza kwenda kumuhifadhi msanii albert mangwea kwenye nyumba yake ya milele kama ionekanavyo pichani hapo ni makaburini.
No comments:
Post a Comment
No comments:
Post a Comment