Blogger Widgets

June 7, 2013

Prezoo Akutwa Live Akimpiga Romance Live Huyu Mtoto Mkali Ambaye Ni Dada Yake Bamboo

Diva na Huddah hawachekani tena!! Inaonekana msichana kumpenda mfalme wa bling bling Prezzo ni kama kukata vitunguu, lazima akutoe machozi.
537276_10151515495937171_345327657_n Victoria Kimani
Kwa mujibu wa website ya Standard Media ya Kenya, Prezzo alibadilishana mate na mtoto mrembo, Victoria Kimani ambaye ni dada yake na rapper Bamboo.
Ilikuwa ni katika uzinduzi wa himaya ya Chocolate City jijini Nai ambapo mmoja wa ‘masinichi’ (kwa sauti ya Dudu Baya) aliwafumania Prezzo na Victoria wakichumu kama Bob Junior.
Hiyo ilikuwa ni ishara kuwa huenda mastaa hao wako pamoja. “She is top seed beauty, you know. Her music is the epitome of love and romance,” Prezzo aliiambia Pulse (sehemu ya Standard Media) alipoulizwa kuhusu uhusiano wao.

“Kissing is an affectionate thing. I can kiss deep,” alisema.
From:Bongo5

No comments:

Post a Comment