DADA mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulukana mara moja aliuacha
hoi umati wa watu walikuwa kwenye baa moja hivi (jina kapuni) huko
mbagala Zakheim mara baada ya kuvua nguo zote na kubaki uchi wa mnyama
na hivyo kusababusha hali ya taharuki katika maeneo hayo.
Chanzo chetu zha karibu kinadai ya kuwa dada huyo alifika maeneo hayo akiwa vizuri kabisa na hali hiyo ambayo ilionekana kuwa si ya kawaida ilianza pale alipoanza kuzitiririssha bia nyingi mno ambazo alikuwa akihongwa na vijana ambao alikuwa amekaa nao mezza moja..