M2
THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake
kipenzi ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa
ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea....!!
Mwanzoni,
M 2 THE P alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa
ametangulia Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza
ukweli......
d