Rayuu
ambaye ni muigizaji wa filamu tayari amechumbiwa na mwenyewe kuamua
kuweka picha facebook. SWP ilipomuuliza kama ni kweli au anatania,
alikiri kuwa ni kweli na mwanaume aliyemchumbia ni yule yule aliyempa
stress wiki kadhaa zilizopita na Rayuu mwenyewe kupost picha facebook
akisema anavuta bangi(weed) ili kuondoa stress za mapenzi kwa kumpenda
mtu tangu utotoni ila amegundua mtu huyo hampendi. Rayuu alipoulizwa
ndoa yake imepangwa kuwa lini hakujibu mpaka tunaandika habari hii. Picha chini inaonyesha actress huyo akiwa na pete yake aliyovishwa..
No comments:
Post a Comment