From CHOKA
Leo
jioni nilipata mwaliko wa kwenda kufuturu kwa msanii wa hip hop nchini
anajulikana kwa jina la JAY MOE maeneo yake ya Sinza Lion. Nikaona sina
budi kuwaonjesha japo kidogo kwa picha, aliawaalika washkaji kibao
wakiwemo wasanii wenzake kutoka Wateule.
Jay Moe akiwashughulikia wageni aliowaalika..
No comments:
Post a Comment