Usiku wa kuamkia leo kulifanyika ugawaji wa tuzo za BET Awards 2013 katika jiji la Los Angeles huko nchini marekani.Baadhi ya wasanii walioteuliwa kutumbuiza ktk show hiyo walikuwa kivutio sana kiasi kwamba mashabiki waliohudhuria hapo walishindwa kujizuia na kujikuta wakipiga mayowe mda wate ambao wasanii hao walikuwa wakitumbuiza,wasanii hao ni pamoja na Chris Brown , Miguel , J. Cole, Kendrick Lamar, 2 Chainz, Pharrell , Nicki Minaj na zaidi, wote hao mwenyeji wao alikuwa Chris Tucker .
Kama ulipitwa basi si mbaya yafuatayo ni majina ya washindi wa tuzo hizo.Tazama orodha hapo chini ili ujue nani aliibuka mshindi kwenye kila category.
Centric Award: Tamar Braxton
Best Male R&B/Pop Artist: Miguel
Best New Artist: Kendrick Lamar
Young Stars Award: Gabrielle Douglas
Best Gospel Artist: Mary Mary
Best Actor: Jamie Foxx
Best Female Hip-Hop Artist: Nicki Minaj
Best Male Hip-Hop Artist: Kendrick Lamar
Lifetime Achievement Award: Charlie Wilson
Best Collaboration: A$AP Rocky's "Fuckin' Problems" f/ Drake, 2 Chainz, and Kendrick Lamar
Humanitarian Award: Dwayne Wade
Fandemonium Award: Chris Brown
Viewer's Choice Award: Drake - "Started From The Bottom"
Best Movie: "Think Like A Man"
No comments:
Post a Comment