Mwengi Ally Shem Lake akisababisha mambo jikoni..... |
Esmah Khan mwenyewe.... |
Recho kizungu zungu akishugulikia mahanjumati.... |
Dada zangu hao wawili wakishugulika......Watoto wa kimanyema |
Vyanda vyandani sasaaa.... |
Bi Sandrah akiweka sawa vitu...... |
Uncle Micky & Uncle Salu |
Story mbili,tatu zikiwa zimekolea huku muda wa kufturu ukisogea... |
Mucki akicheka mwenyewe baada ya Adhana kuadhiniwa.... |
Kisula nae...hadi muda wa futari we bado una bofya bofya tu...... |
Kutoka kushoto kwenda kulia ni AllyLuna,Dumi utamu, Rama Tonser,Emma Platnum,Qboy Msafi,Mucky wa Makomando, Uncle Salu & Uncle yake Penny,Mickie |
Qboy akiteta jambo kwa umakini kabisa na Mucki..... |
From Left,Uncle Salu,Penny & My Blood Cuzin Rommy Jones... |
bado dakika kadhaa tushuke ulingoni...hahaha |
Tukiwa tumekusanyika kwa pamoja tayari kupata Iftar |
Uncle Mickie,Never shake never Die....!! |
Hapana chezea MAHANJUMATI haya bhana yaliyopikwa yakapikika.... |
Time hii amna stori ni mikono na midomo inacheza tu stori baadae... |
Mwasiti nae alikuwepo....... |
Hamza Bala nae hakukosekana.... |
Weee sibanduki hapa kabisa ni kung'ata ng'ata tu..... |
Dumi mwenye utamu wake..... |
Darleen,Mwasiti & Recho... |
Penniel na Mama Naseeb.... |
Bi Sandrah akisema jambo na mabinti zake.... |
Taratibu watu wakifinya kuweka matumbo sawa baada ya masaa 12 ya fungo.... |
Njooo na wewe tujumuike ama niniii..? |
No comments:
Post a Comment