Check Picha ya Mtoto Aliyezaliwa Nchini India Akiwa na Mkia na Anaabudiwa Kama Mungu
Huyu kijana wa miaka 12 mwenye mkia anasujudujiwa kama mungu huko india. Wafuasi hujaa kwenye hekalu la Arshid Ali Khan na huwacha fedha au zawadi ili wapate baraka kutoka kwa huyu dogo, Pia huyu dogo.. Huaminika kama mungu kima wa kihindu Hanuman lakini madaktari wanasema ana ‘Meningocele” hali inayofanya uti wa mgongo ukue tofauti.
Na huyu ndo kima mungu ambao pia watu wa India huwa wanamuabudu..
Mungu kima hanuman
Balaji anaeishi na babu na bibi yake alisema “napenda
mkia wangu. Ni zawadi toka kwa Mungu. Ni tofauti lakini watu
huniheshimu na kuinama mbele yangu sababu yake. Najiskia wa tofauti”
Madaktari wanasema mkia huo usipoondolewa Miguu na mikono ya Balaji iliyojikunja huenda ikawa katika hali mbaya zaidi.
No comments:
Post a Comment