Blogger Widgets

July 16, 2013

Hii Ndio Conclusion ya Ndoa ya Aunt Ezekiel na Mume Wake Ambae Yupo Dubai


Wengi  walitegemea  kuwa  Aunt  Ezekiel ataungana  na  mumewe Sunday  katika  kipindi  hiki  cha  mwezi  mtukufu wa Ramadhani  lakini  hali  imekuwa  ni  tofauti....
Aunt  anayetumia  jina  la  Rahma  baada  ya  kubadili  dini  ili  aolewe  na  mwanaume  huyo,   amemtosa  mkaka  huyo  na  kuendelea  kula  bata  nchini  huku  akidai  kuwa  mumewe  hana  mengi.

"Sina  mpango  wowote  wa  kuondoka  nchini  kumfuata  mwanaume.Yeye  ni  mume  wangu, ntamkuta  tu  hata  nikienda  mwakani.

"Kwanza  mume  wangu  hana  mengi  na  si  mkorofi  na  anajua  wazi  kwamba  sipendi  kubanwa.Kwa  sasa  nina  mambo  mengi  likiwemo  hili  la  kuisambaza  filamu  yangu  mpya  ya  Scola  mwezi  ujao"...Alisema  aunt  Ezekiel

No comments:

Post a Comment