Mwanadada Rihanna
amekuwa katika orodha ya Maceleb ambao kila wakati wamekuwa gumzo kwa
mambo wanayoyafanya, safari hii mwanadada huyu ameamua kutangaza unyunyu
ama perfume yake mpya ambayo imetoka mwaka huu, ambapo katika picha hii
sehemu kubwa ya mwili wake inaonekana ikiwa wazi, kitu ambacho kimekuwa
kikiwakera na kwa upande mwingine kuwafurahisha watu ambao
wanamfuatilia mwanadada huyu.
Tazama hapa picha
mpya kabisa za tangazo la bidhaa hii [Rogue] kwaajili ya wanawake ambayo
mahesabu yanaweka wazi kuwa bei yake kwa pesa za kitanzania ni sawa na
shilingi 111,607/-Tshs.
Hizi pia ni perfume nyingine ambazo Rihanna amekwishawahi kutoa pamoja na miaka ambayo aliziingiza kwenye market.
No comments:
Post a Comment