PICHA:Vijana waandamana kwa kuvaa "SKETI" wakishinikiza pendekezo la kuvaa "KAPTURA" Kipindi cha Majira ya Joto Kwa Sababu Suruali Zinawaumiza
Vijana hao pichani, ni wanafunzi kutoka Whitchurch High School ambao
walifanya mgomo baridi ili kushinikza uongozi wa shule uwaruhusu wavae
kaptura kipindi cha majira ya joto maana suruali zinakuwa ni mateso
kwao, baada ya kitendo chao hicho, uongozi wa shule hiyo kupia kwa mkuu
wa shule ulitoa ahadi ya kulizingatia ombi lao hilo na kwamba walitakiwa
waendelee kuvaa suruali wakati mabadiliko yanapitishwa.
No comments:
Post a Comment