Blogger Widgets

July 19, 2013

PICHA:Vijana waandamana kwa kuvaa "SKETI" wakishinikiza pendekezo la kuvaa "KAPTURA" Kipindi cha Majira ya Joto Kwa Sababu Suruali Zinawaumiza

Vijana hao pichani, ni wanafunzi kutoka Whitchurch High School ambao walifanya mgomo baridi ili kushinikza uongozi wa shule uwaruhusu wavae kaptura kipindi cha majira ya joto maana suruali zinakuwa ni mateso kwao, baada ya kitendo chao hicho, uongozi wa shule hiyo kupia kwa mkuu wa shule ulitoa ahadi ya kulizingatia ombi lao hilo na kwamba walitakiwa waendelee kuvaa suruali wakati mabadiliko yanapitishwa.

No comments:

Post a Comment