Kupitia U heard ya jana, inasemekana msanii Mr Blue amrubuni mfanya
usafi wa hoteli inayoitwa Chriss, iliyoko Tarime, baada ya kuzuiwa kwa
mabegi yake kwa kushindwa kulipa deni la shilingi elfu 40,000,
inasemekana Mr Blue aliamua kucheza dili na mfanya usafi ili aende
akamtolee mabegi yake na kumpa mtonyo kidogo, ambae alifanya hivyo na
Blue kufanikiwa kuondoka bila kulipa deni hilo, kitu kilichosababisha
mfanya usafi huyo kufukuzwa kazi..... Msikilize Gossip Cop hapo chini
No comments:
Post a Comment