Blogger Widgets

July 17, 2013

Tambua Ukweli Uliosemwa na Mmoja wa wanafunzi wa wanaosoma vyuo vikuu vya dododm juu ya Hizi Picha na Video zinazosamabaa kwenye Mitando

Kama ni kweli basi itabidi tuseme kuwa wanafunzi wa vyuo vya Dodoma ndio wanaongoza kwa upigaji wa picha za utupu na video za ngono hapa Bongo. Kashfa za picha chafu kutoka UDOM, CBE Dodoma na vyuo vingine ndizo zimetawala mitandaoni lakini je, ni kweli au wanasingiziwa tu? Hata VIDEO HII MAARUFU KWA JICHO LA NGOMBE:inasemekana siyo wanafunzi wa CBE Dodoma ila tu ni wasela wa mtaani waliokuwa wakiishi karibu na chuo cha CBE Dodoma.

Nimelileta hili baada ya mdau mmoja kuleta picha, tena kwa mikwara mingi, akidai kuwa ametuma picha za mwanafunzi wa Education kutoka UDOM na CBE aliyekuwa Guest House akijiandaa kufanyamapenzi na lecturer wake; mmoja akiwa katika mikao ya kihasara hosteli na mwingine akiwa uchi katika mbuga za Serengeti. Hata hivyo baada ya kufanya uchunguzi kidogo tu tumegundua kuwa picha hizo zimetoka katika mtandao mmoja wa ngono kutoka Afrika Kusini na ule wa Rico unaojikita katika picha za wanawake wa Carribean na hasa Jamaica na Haiti ambako kusema kweli mazingira yao na yetu hayatofautiani sana.
wanafunzi wa vyuo vya Dodoma wakati unajua kuwa siyo kweli? Nia ni kuchafua jina la vyuo vya Dodoma na hasa UDOM ambacho shutuma za ngono zimewahi kugusiwa mpaka bungeni? Kuna nini huko UDOM,CBE na vyuo vingine vya Dodoma mpaka vivume na kusifika sana kwa mambo ya ngono?
Wanafunzi wa UDOM hebu fungukeni tuwasikie jamani.


Ni kweli ngono imetawala hapo chuoni kwenu?
Kwa mabinti, ni kweli kuwa bila kufanya ngono na walimu hufiki popote kimasomo? Au ni watu wachache tu wanaowaharibia kwa kueneza sifa hizi za uwongo?

No comments:

Post a Comment