Check Kufuru waliyoifanya P SQUARE Baada ya Kupiga Show na Kuwamwagia Pesa Kibao Ma-Strippers (Wanawake Wanaocheza Uchi) Ndani ya Club.
Wasanii wa P-Square
kupitia account ya Instagram ya peter okoye, wameweka picha ambazo
zinawaonyesha wakiwa katika Club ya Ma-Strippers (Wanawake Wanaocheza
Uchi) katika kile kinachoaminika kuwa moja ya njia za kujipooza na
kujiburudisha baada ya kazi nzito ya kuwatumbuiza watu huko Marekani. Kutoka
kwa picha hizi ambazo zinawaonyesha wakizitumbua pesa walizozitolea
jasho kihalali, kumezuka maoni mengi na mitazamo tofauti kutoka kwa
mashabiki wa wasanii hawa... ambapo pia wewe kama mmoja wao unaweza
kuona hapa na kutoa mtazamo wako.
No comments:
Post a Comment