Blogger Widgets

August 17, 2013

Check Ujio wa Nando na Label ya ‘Brotherhood’,

Ammy Nando ameanza kuzitumia fursa nyingi zinazomsubiri baada ya Big Brother Africa, The Chase.
BRDPxj2CQAAHh_e
Mwakilishi huyo wa Tanzania kwenye shindano hilo mwaka huu ambaye kwa sasa yupo nchini Marekani, ameanzisha clothing line yake iitwayo, Brotherhood.
Ameshare kwenye Twitter picha ya nguo zilizo tayari na kuandika:
BR2XuESCUAAGay2

Clothing Iine DONE..an Empire on the making..y’all ready?#brotherhood #A

No comments:

Post a Comment