Swahili TV ilifanya
mahojiano exclusive na Ammy Nando katika Jiji la Los Angeles, USA.
Ammy ambaye kwa sasa anajulikana kama Army Nando, Mtanzania mwenye
makazi yake katika jimbo la California, aliyeshiriki
Big Brother Africa season 8 "The Chase" na hatimaye kutolewa .
Katika video hii Nando amefunguka kuhusu kilichomfanya atolewe
mjengoni, maisha ya mle ndani na pia ameweka bayana mipango yake ya
baadaye, nini kinachofuata baada ya BBA.
Kwa interview zaidi tembelea
www.swahilitv.blogspot.com
www.swahilitv.info
Kwa interview zaidi tembelea
www.swahilitv.blogspot.com
www.swahilitv.info
No comments:
Post a Comment