Ilienea mtandaoni mwishoni mwa mwaka jana...
Na Wanaume wa Global walii-diskasi sana...
Kama uliikosa, basi wadau wameirusha upya...
Asante sana mdau Wally kwa kuturushia hii kitu kwani mi sikuwahi kuiona.
Ambaye ana quality nzuri au aina nyingine aturushie....
Video yenyewe ndiyo hii...
Watu wanakula bata jamani...
Ukiwa na vihela au kaumaarufu kidogo tu hapa Bongo...
Basi utafanya Ngono mpaka Wanawake wakkome ...Manaiki Sanga style...
Halafu mambo yakibumburuka, Mastaa pekee ndo wanashikiwa bango...Vipi kuhusu hawa mabinti wanaojirahisi na kujipeleka wenyewe kwa hawa mastaa uchwara?
Kwa mtindo huu, kazi ipo !!!
Click HAPA Kuona Video Yote
No comments:
Post a Comment