Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia
mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko
wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii
pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti pendwa.
Gazeti hili katika upekenyuaji wake limenasa picha hizi
kwenye mtandao mmoja maarufu wa kijamii ukimuonesha Manaiki akiwa kwenye kibano
kikali cha polisi huku akiwa amevishwa pingu na kurukishwa kichurachura.
Habari za uhakika zilizonaswa na Xdeejayz zilisema kuwa
msanii huyo aliyeshiriki kwenye filamu za Tikisa, Love Position, Last Coin na
Sory my Soni alikamatwa siku chache baada kuvuja kwa picha zake za aibu
zikimuonesha akiwa na wanawake tofauti tofauti.
No comments:
Post a Comment