totooo Lulu |
muje muone mambo mazuri |
Starehe za mujini ndio hizi, sio starehe ukienda unalia kwasababu ya kunukizana vikwapa mambo ya mlimani city full kipupwe, watu wanashusha hasira zao na hivi kuna baridi na dada Jide jaydee, wakina Yahaya tutawajua hapo aiseee, huku vijana Barnaba na Amini wakifanya yao, kwa wale mashostisto umbea sunaa book ya ticket rit thur but tickets are available for 30k.
you can call me as well if u wanna a ticket.
C U THERE.
mambo zaid endelea kuangalia website yako bora tuta ku update liveee bila chenga mambo yanavyokuwa
No comments:
Post a Comment