Valdeci
Sobrino Picanto ni mchungaji wa Brazil ambaye mwaka huu alikamatwa
kutokana na kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake una maziwa ya
baraka na hivyo kuwataka waunyonye kupata baraka hizo.
Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake kuwa roho mtakatifu alikuwa
anaingia kwenye uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye upako.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa lake, mchungaji huyo alikuwa
akiwahuburia kuwa Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na kutuambia tumnyonye mpaka
pale Roho Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya ‘ejaculation’ (kufika
kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka wafungwa wenzie.
No comments:
Post a Comment