'Kanye West akodishwa
kutumbuiza katika Harusi' [One can hardly imagine this happenin] lakini
hiki kitu kinawezekana kabisa long una mpunga wa kumtosha kufanya hivyo,
and YES INDEED, kitu hiki kimemtokea rapa huyu mwishoni mwa mwezi
ambapo alikwenda kufanya show katika Harusi huko Kazhakstan.
Kanye alitumbuiza wageni katika harusi katika
ukumbi mmoja uliopo katika hoteli ya Royal Tulip, na hii ilikuwa ni
katika harusi ya mjukuu Rais Nursultan Nazarbayev.
Story
kubwa kutoka tukio hili ni kiasi cha pesa ambayo Kanye amelipwa kufanya
burudani hii, Dola milioni 3 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 4 za
Kitanzania kwa kuimba kwa muda mchache tu.
Story kubwa zaidi
katika hili pia ni maoni tofauti ambayo msanii huyu amekuwa akikumbana
nayo kwa sasa hasa kutokana na kukubali kwenda kutumbuiza katika himaya
ya kiongozi huyu ambaye ni Dikteta.
No comments:
Post a Comment